Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 19:20 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mwanamume akilala na mwanamke mtumwa ambaye ameposwa na mwanamume mwingine, lakini bado hajakombolewa wala kupewa uhuru, uchunguzi ufanywe. Lakini wasiuawe kwa sababu mwanamke huyo hakuwa bado huru.

Kusoma sura kamili Walawi 19

Mtazamo Walawi 19:20 katika mazingira