Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 2:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, atawaletea hao makuhani wa ukoo wa Aroni. Atachukua konzi moja ya unga huo laini wenye mafuta na ubani na kumpelekea kuhani mmojawapo ambaye atauteketeza juu ya madhabahu uwe sadaka ya ukumbusho kwa Mwenyezi-Mungu. Hiyo ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto yenye harufu nzuri ya kumpendeza Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Walawi 2

Mtazamo Walawi 2:2 katika mazingira