Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 2:4 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kama mtu anamtolea Mungu sadaka ya nafaka iliyookwa jikoni, hiyo itakuwa ya mikate isiyotiwa chachu ya unga laini uliochanganywa na mafuta ya zeituni, au ya mikate myembamba isiyo na chachu na isiyopakwa mafuta.

Kusoma sura kamili Walawi 2

Mtazamo Walawi 2:4 katika mazingira