Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 20:17 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kama mwanamume yeyote akimwoa dada yake, binti ya baba yake au mama yake, na binti huyo akakubaliana na mwanamume huyo ambaye ni kaka yake, na kulala naye, hilo ni chukizo, ni lazima watengwe na rika lao kwani wamefanya jambo la aibu. Ni lazima mwanamume huyo awajibike kwa uovu wake.

Kusoma sura kamili Walawi 20

Mtazamo Walawi 20:17 katika mazingira