Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 20:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, ni lazima mtofautishe kati ya mnyama asiye najisi na aliye najisi, kati ya ndege asiye najisi na aliye najisi. Msijifanye kuwa najisi kwa kugusa mnyama au ndege au chochote kitambaacho duniani ambacho nimekitenga kuwa ni najisi.

Kusoma sura kamili Walawi 20

Mtazamo Walawi 20:25 katika mazingira