Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 21:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose, “Waambie makuhani, wana wa Aroni, kwamba pasiwe na mtu yeyote miongoni mwao atakayejitia najisi kwa kugusa maiti ya watu wa jamaa yake,

Kusoma sura kamili Walawi 21

Mtazamo Walawi 21:1 katika mazingira