Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 22:18 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mwambie Aroni na wanawe makuhani na Waisraeli wote hivi: Kama mtu yeyote miongoni mwenu au mgeni yeyote aishiye katika Israeli akitoa sadaka yake, iwe ni ya kutimiza nadhiri au sadaka ya hiari ya kumtolea Mwenyezi-Mungu kwa kuteketezwa,

Kusoma sura kamili Walawi 22

Mtazamo Walawi 22:18 katika mazingira