Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 23:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Pamoja na hayo, mtatoa wanakondoo saba wa mwaka mmoja, fahali mchanga mmoja, na kondoo madume wawili. Wanyama hao watakuwa sadaka ya kuteketezwa pamoja na sadaka ya nafaka na sadaka za kinywaji. Harufu ya sadaka hizi itanipendeza mimi Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Walawi 23

Mtazamo Walawi 23:18 katika mazingira