Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 24:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mose akawaambia Waisraeli hayo yote. Wakampeleka yule mtu aliyemlaani Mwenyezi-Mungu nje ya kambi, wakamuua kwa kumpiga mawe. Ndivyo Waisraeli walivyofanya kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose.

Kusoma sura kamili Walawi 24

Mtazamo Walawi 24:23 katika mazingira