Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 25:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama nyumba iliyo katika mji uliojengewa ukuta haikukombolewa kwa muda wa mwaka mmoja, basi, itakuwa mali ya yule aliyeinunua milele katika vizazi vyao vyote; wala haitarudishwa katika mwaka wa sikukuu ya kukumbuka miaka hamsini.

Kusoma sura kamili Walawi 25

Mtazamo Walawi 25:30 katika mazingira