Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 26:45 Biblia Habari Njema (BHN)

La! Kwa ajili yao nitalikumbuka agano nililofanya na wazee wao ambao niliwatoa katika nchi ya Misri, mataifa yakishuhudia, ili mimi niwe Mungu wao. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili Walawi 26

Mtazamo Walawi 26:45 katika mazingira