Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 4:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani atachukua sehemu ya damu na kuzipaka pembe za madhabahu ya kufukizia ubani wa harufu nzuri, mbele ya Mwenyezi-Mungu katika hema la mkutano. Damu inayobaki ataimwaga chini kwenye tako la madhabahu ya kuteketezea sadaka iliyoko karibu na mlango wa hema la mkutano.

Kusoma sura kamili Walawi 4

Mtazamo Walawi 4:7 katika mazingira