Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 5:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, kuhani atamfanyia huyo mtu ibada ya upatanisho kwa ajili ya dhambi, naye atasamehewa. Unga unaobaki utakuwa wake kuhani kama ifanyikavyo kuhusu sadaka ya nafaka.”

Kusoma sura kamili Walawi 5

Mtazamo Walawi 5:13 katika mazingira