Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 6:25 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mwambie Aroni na wanawe kuwa ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka ya kuondoa dhambi, mahali pale ambapo mnyama wa sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa ndipo atakapochinjiwa mnyama wa sadaka ya kuondoa dhambi, mbele ya Mwenyezi-Mungu; hiyo ni sadaka takatifu kabisa.

Kusoma sura kamili Walawi 6

Mtazamo Walawi 6:25 katika mazingira