Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 8:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya matumbo na miguu kuoshwa kwa maji, Mose aliviteketeza vyote juu ya madhabahu pamoja na sehemu nyingine za huyo kondoo kama sadaka ya kuteketezwa. Hiyo ni sadaka itolewayo kwa moto, yenye harufu ya kumpendeza Mwenyezi-Mungu. Mose alifanya kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Walawi 8

Mtazamo Walawi 8:21 katika mazingira