Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 8:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Mose akavichukua vitu hivyo vyote kutoka mikononi mwao na kuviteketeza juu ya madhabahu pamoja na sadaka ya kuteketezwa. Hii ni sadaka ya kuwekwa wakfu, yenye harufu ya kumpendeza Mwenyezi-Mungu; ni sadaka itolewayo kwa moto.

Kusoma sura kamili Walawi 8

Mtazamo Walawi 8:28 katika mazingira