Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 8:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Mose akamwambia Aroni na wanawe, “Chemsheni ile nyama mbele ya mlango wa hema la mkutano, muile hapo mlangoni pamoja na mkate kutoka katika kikapu chenye sadaka za kuwekea wakfu. Fanyeni kama nilivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu, kwamba sehemu hiyo italiwa na Aroni na wanawe.

Kusoma sura kamili Walawi 8

Mtazamo Walawi 8:31 katika mazingira