Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 9:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Mose akamwambia Aroni, “Nenda kwenye madhabahu, utolee hapo sadaka yako ya kuondoa dhambi na sadaka ya kuteketezwa na kufanya ibada ya upatanisho kwa ajili yako na kwa ajili ya watu wa Israeli. Kisha tolea hapo sadaka za watu na kuwafanyia ibada ya upatanisho kama alivyoamuru Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili Walawi 9

Mtazamo Walawi 9:7 katika mazingira