Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 13:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, aliniambia hivi: “Waambie watu wa Israeli kwamba kila mtungi utajazwa divai. Lakini utakapowaambia hivyo, wao watakujibu hivi: ‘Kwani unadhani sisi hatujui kwamba kila mtungi utajazwa divai?’

Kusoma sura kamili Yeremia 13

Mtazamo Yeremia 13:12 katika mazingira