Ee Mwenyezi-Mungu, je, umemkataa Yuda kabisa?Je, moyo wako umechukizwa na Siyoni?Kwa nini umetupiga vibaya,hata hatuwezi kupona tena?Tulitazamia amani, lakini hatukupata jema lolote;tulitazamia wakati wa kuponywa, badala yake tukapata vitisho.