Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 16:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu asema: “Tazama, nitaita wavuvi wengi waje kuwakamata watu hawa. Kisha, nitaita wawindaji wengi watakaowawinda katika kila mlima, kila kilima na katika mapango ya miambani.

Kusoma sura kamili Yeremia 16

Mtazamo Yeremia 16:16 katika mazingira