Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 18:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa, basi, waambie watu wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Mimi Hufinyanga jambo ovu dhidi yenu na kufanya mpango dhidi yenu. Rudini na kuacha njia zenu mbaya, mkarekebishe mienendo yenu na matendo yenu.

Kusoma sura kamili Yeremia 18

Mtazamo Yeremia 18:11 katika mazingira