Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 18:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini watu wangu wamenisahau mimi,wanafukizia ubani miungu ya uongo.Wamejikwaa katika njia zao,katika barabara za zamani.Wanapitia vichochoroni badala ya njia kuu.

Kusoma sura kamili Yeremia 18

Mtazamo Yeremia 18:15 katika mazingira