Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 19:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitaufanya mji huu kuwa mahali pa kushangaza; naam, nitaufanya uwe kitu cha kuzomewa. Kila mtu anayepita karibu nao atashangaa na kuuzomea kwa sababu ya maafa yote yatakayoupata.

Kusoma sura kamili Yeremia 19

Mtazamo Yeremia 19:8 katika mazingira