Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 21:2 Biblia Habari Njema (BHN)

“Tafadhali, tuombee kwa Mwenyezi-Mungu maana Nebukadneza, mfalme wa Babuloni, anaanza vita dhidi yetu. Labda Mwenyezi-Mungu atatufanyia mwujiza kama afanyavyo mara kwa mara na kumfanya Nebukadneza atuache na kwenda zake.”

Kusoma sura kamili Yeremia 21

Mtazamo Yeremia 21:2 katika mazingira