Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 21:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Nendeni mkamwambie Sedekia kwamba hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli: “Sedekia! Nitakugeuzia wewe mwenyewe silaha unazotumia kupigana na mfalme wa Babuloni na Wakaldayo wanaowazingira nje ya kuta za mji. Nitazikusanya silaha zote katikati ya mji huu.

Kusoma sura kamili Yeremia 21

Mtazamo Yeremia 21:4 katika mazingira