Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 23:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Naam, mimi Mwenyezi-Mungu nasema kuwa nitawashambulia manabii wanaotabiri ndoto zao za uongo kwa watu wangu, na kuwapotosha kwa uongo wao na kuropoka kwao. Mimi sikuwatuma wala kuwaamuru waende; kwa hiyo hawatawafaa watu hao. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Kusoma sura kamili Yeremia 23

Mtazamo Yeremia 23:32 katika mazingira