Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 24:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya Nebukadneza, mfalme wa Babuloni kuwahamisha Yekonia mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, pamoja na viongozi wa Yuda, mafundi stadi na masonara, kutoka Yerusalemu na kuwapeleka Babuloni, Mwenyezi-Mungu alinionesha ono hili: Niliona vikapu viwili vya tini vimewekwa mbele ya hekalu la Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Yeremia 24

Mtazamo Yeremia 24:1 katika mazingira