Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 25:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Yehoyakimu mwana wa Yosia, katika Yuda, Mwenyezi-Mungu alinimpa mimi Yeremia ujumbe kuhusu watu wa Yuda. Mwaka huo ulikuwa wa kwanza wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babuloni.

Kusoma sura kamili Yeremia 25

Mtazamo Yeremia 25:1 katika mazingira