“Basi, wewe Yeremia utatabiri maneno haya yote dhidi yao, na kusema hivi:Mwenyezi-Mungu atanguruma kutoka juu,atatoa sauti yake kutoka makao yake matakatifu;atanguruma kwa nguvu dhidi ya watu wake,na kupaza sauti kama wenye kusindika zabibu,dhidi ya wakazi wote wa dunia.