Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 25:5 Biblia Habari Njema (BHN)

wakawaambieni kwamba kila mmoja wenu aachane na mwenendo wake mwovu na matendo yake mabaya, ili mpate kuishi katika nchi ambayo Mwenyezi-Mungu amewapa nyinyi na wazee wenu tangu zamani, muimiliki milele.

Kusoma sura kamili Yeremia 25

Mtazamo Yeremia 25:5 katika mazingira