Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 26:18 Biblia Habari Njema (BHN)

“Wakati Hezekia alipokuwa mfalme wa Yuda, Mika wa Moreshethi, aliwatangazia watu wote kwamba Mwenyezi-Mungu wa majeshi alisema hivi:‘Mji wa Siyoni utalimwa kama shambamji wa Yerusalemu utakuwa magofu,nao mlima wa hekalu utakuwa msitu.’

Kusoma sura kamili Yeremia 26

Mtazamo Yeremia 26:18 katika mazingira