Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 28:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwaka uleule, mnamo mwezi wa tano wa mwaka wa nne wa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, Hanania mwana wa Azuri, nabii kutoka mji wa Gibeoni, alisema nami katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Alisema nami mbele ya makuhani na watu wote, akaniambia,

Kusoma sura kamili Yeremia 28

Mtazamo Yeremia 28:1 katika mazingira