Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 28:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, nasema kuwa nimeweka nira ya chuma ya utumwa shingoni mwa mataifa haya yote, nayo yatamtumikia Nebukadneza, mfalme wa Babuloni. Nimempa Nebukadneza hata wanyama wa porini wamtumikie.”

Kusoma sura kamili Yeremia 28

Mtazamo Yeremia 28:14 katika mazingira