Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 29:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Ifuatayo ni barua ambayo nabii Yeremia aliwapelekea kutoka Yerusalemu wazee na makuhani, manabii na watu ambao Nebukadneza alikuwa amewachukua kutoka Yerusalemu akawapeleka uhamishoni Babuloni.

Kusoma sura kamili Yeremia 29

Mtazamo Yeremia 29:1 katika mazingira