Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 29:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo mimi Mwenyezi-Mungu nasema kuwa nitamwadhibu Shemaya wa Nehelamu pamoja na wazawa wake. Hakuna hata mmoja wa watu wake atakayebaki hai kuona mema nitakayowafanyia watu wangu, kwa sababu amewachochea watu waniasi mimi Mwenyezi-Mungu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Kusoma sura kamili Yeremia 29

Mtazamo Yeremia 29:32 katika mazingira