Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 30:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana mimi niko pamoja nawe, kukuokoa.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.Nitayaangamiza kabisa mataifa yote,ambayo nilikutawanya kati yao;lakini wewe sitakuangamiza kabisa.Nitakuadhibu kadiri unavyostahiliwala sitakuacha uende bila kukuadhibu.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Yeremia 30

Mtazamo Yeremia 30:11 katika mazingira