Maana mimi niko pamoja nawe, kukuokoa.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.Nitayaangamiza kabisa mataifa yote,ambayo nilikutawanya kati yao;lakini wewe sitakuangamiza kabisa.Nitakuadhibu kadiri unavyostahiliwala sitakuacha uende bila kukuadhibu.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.