Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 31:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na wazee wao nilipowatoa kwa mkono wangu kutoka Misri; agano hilo walilivunja, ingawa mimi nilikuwa Bwana wao. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Yeremia 31

Mtazamo Yeremia 31:32 katika mazingira