Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 32:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi: “Nyumba na mashamba, pamoja na mashamba ya mizabibu katika nchi hii yatanunuliwa tena.”

Kusoma sura kamili Yeremia 32

Mtazamo Yeremia 32:15 katika mazingira