Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 32:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Wewe unaonesha fadhili zako kwa maelfu ya watu; lakini pia unawaadhibu watu kwa sababu ya dhambi za wazee wao. Wewe ni Mungu mkuu, mwenye nguvu, Mwenyezi-Mungu wa Majeshi ndilo jina lako.

Kusoma sura kamili Yeremia 32

Mtazamo Yeremia 32:18 katika mazingira