Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 32:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, majeshi ya mfalme wa Babuloni yalikuwa yakiuzingira mji wa Yerusalemu, naye nabii Yeremia alikuwa amezuiliwa katika ukumbi wa walinzi uliokuwa ndani ya ikulu ya mfalme wa Yuda.

Kusoma sura kamili Yeremia 32

Mtazamo Yeremia 32:2 katika mazingira