Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 33:24 Biblia Habari Njema (BHN)

“Je, hujasikia wasemayo watu hawa, kwamba mimi Mwenyezi-Mungu nimewatupilia mbali watu wa Israeli na watu wa Yuda, jamaa mbili nilizoziteua? Wamewadharau watu wangu, hata kuwaona kwamba wao si taifa.

Kusoma sura kamili Yeremia 33

Mtazamo Yeremia 33:24 katika mazingira