Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 33:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu watajaribu kuwakabili Wakaldayo lakini hiyo itakuwa bure, maana mahandaki yatajaa maiti za watu ambao nitawaua kwa hasira na ghadhabu yangu. Kwa vile wamefanya uovu huo wote, mimi nitauacha mji huu.

Kusoma sura kamili Yeremia 33

Mtazamo Yeremia 33:5 katika mazingira