Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 33:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Nao mji huu utakuwa sababu ya furaha kwangu, mji wa sifa na fahari mbele ya mataifa yote duniani ambayo yatasikia juu ya mema yote ninayowafanyia. Mataifa yataogopa na kutetemeka kwa sababu ya mema na fanaka nitakazouletea mji huu wa Yerusalemu.”

Kusoma sura kamili Yeremia 33

Mtazamo Yeremia 33:9 katika mazingira