Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 34:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Nyinyi hamkunitii kuhusu kuwapatia uhuru ndugu zenu Waisraeli. Basi, nami pia nitawapatieni uhuru; uhuru wa kuuawa kwa upanga vitani, kuuawa kwa maradhi na kwa njaa. Nitawafanya muwe kioja kwa falme zote duniani.

Kusoma sura kamili Yeremia 34

Mtazamo Yeremia 34:17 katika mazingira