Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 34:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Sedekia, mfalme wa Yuda, pamoja na viongozi wake, nitawatia mikononi mwa maadui zao, na mikononi mwa watu wanaotaka kuwaua; yaani mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babuloni ambalo limeondoka na kuacha kuwashambulia.

Kusoma sura kamili Yeremia 34

Mtazamo Yeremia 34:21 katika mazingira