Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 35:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Niliwapelekea tena na tena watumishi wangu wote yaani manabii wawaambieni kila mmoja wenu aachane na mwenendo wake mwovu, arekebishe matendo yake na kuacha kuifuata na kuitumikia miungu mingine. Na kwamba mkifanya hivyo mtakaa katika nchi niliyowapa nyinyi na wazee wenu. Lakini nyinyi hamkunitegea sikio wala hamkunisikiliza.

Kusoma sura kamili Yeremia 35

Mtazamo Yeremia 35:15 katika mazingira