Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 35:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Sisi tumeitii daima amri hiyo ya mzee wetu Yonadabu mwana wa Rekabu, kuhusu jambo alilotuamuru. Sisi hatunywi kamwe divai; sisi wenyewe hatunywi, wala wake zetu, wala watoto wetu wa kiume au wa kike.

Kusoma sura kamili Yeremia 35

Mtazamo Yeremia 35:8 katika mazingira