Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 36:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Na huyo Yehoyakimu mfalme wa Yuda, wewe utamwambia kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Yeye ameichoma moto hati hiyo na kuuliza kwa nini Yeremia ameandika kwamba mfalme wa Babuloni atakuja kuiharibu nchi hii na kuwaangamiza watu na wanyama!

Kusoma sura kamili Yeremia 36

Mtazamo Yeremia 36:29 katika mazingira