Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 37:17 Biblia Habari Njema (BHN)

mfalme Sedekia alimwita na kumkaribisha kwake. Mfalme akamwuliza kwa faragha wakiwa nyumbani mwake; “Je, kuna neno lolote kutoka kwa Mwenyezi-Mungu?” Yeremia akamjibu, “Naam! Lipo!” Kisha akaendelea kusema, “Wewe utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babuloni.”

Kusoma sura kamili Yeremia 37

Mtazamo Yeremia 37:17 katika mazingira